16.d - Charlie Pele

6
...halafu na-get ball mpya... ...plus njumu poa za ball... ...jersey ndio hiyo! ...pia na-buy tractor! ...hata naeza buy ndege! aki siwezi ngoja! na hii dooh yote... utapata wapi? sweet potato zimeiva! twende tuzicheki! Majuju Za Sangoma Tena?! 25

description

Chapta 16- Charlie Pele: Majuju za sangoma tena(New variety sweet potato)

Transcript of 16.d - Charlie Pele

Page 1: 16.d - Charlie Pele

...halafu na-get

ball mpya...

...plus njumu poa za ball...

...jersey ndio hiyo!

...pia na-buy

tractor!

...hata naeza buy

ndege!

aki siwezi ngoja!

na hii dooh yote... utapata

wapi?

sweet potato zimeiva! twende

tuzicheki!

Majuju Za Sangoma Tena?!

25

Page 2: 16.d - Charlie Pele

sasa taabu...

watasikizana aje? wataishi

aje?

hm...

labda niende

kwa wale jirani...

tukizingumza, labda tutapata suluhisho...

njia ya kusaidia watoto wetu...

mtego! bila shaka, maadui wangu

wanadhani wamenipata! lakini WAPi!

hahaha!

lakini... hii ni mtego ya aina

gani wameniachia?...

sio shimo la nyoka...

...na sio cage kama ya ndege...

labda ni...

anataka kuoa msichana wa

kabila ingine...

haiya!

sangoma saidiaaaa...

oho! charlie

amefurahi kweli kweli!

tazama sasa baba charlie, ambaye

wakati uo huo,

anaelekea nyumbani...

26

Page 3: 16.d - Charlie Pele

...nikaona hii shimo njiani kama trap

inaningojea...

...nilikuwa natembea

hivi...

nakuuliza, sangoma, hii ni uchawi

gani hii?!?!?!

kweli...

...ni karne mingi tangu nione uchawi

ya hii kiwango...

...naombea nguvu za kuikinga

inavyostahili...

27

Page 4: 16.d - Charlie Pele

muda si muda, charlie na rosie wanafika shambani!

...labda hata tunaweza kuonja

sweet potato moja saa hii...

aaaaaah! sweet potato

zote zimeharibika!!!

usijali, charlie--

uncle atakusaidia...

ndoto zangu...!

28

Page 5: 16.d - Charlie Pele

ulikuwa umeziacha shambani sana...

niliziacha hapa kwa sababu niliambiwa ukizitoa

mchangani ndio zinaoza

haraka...

hiyo ndio sababu sasa zimeoza...

naweza kukuonyesha

method yenye mimi natumia ku-store sweet potatoes ili zisioze shambani...

method yangu

inazikawisha...

kuja nikuonyeshe...

29

Page 6: 16.d - Charlie Pele

mnafanya nini?!?!?!?!

kanyanga yote,

sangoma!!!

hizo ni sweet

potatoes zangu!!!

...sema nini?

lipeni!

kujeni hapa

mnilipe!

Mnakumbuka vile tulipanda new variety

sweet potatoes? Cheki Chapta 5

www.shujaaz.fm

2. Weka nyasi imekauka ndani ya hiyo shimo. Hii nyasi itakuwa kama cushion ya sweet potatoes, na pia inanyonya moisture kwa shimo ndio sweet potatoes zisi-spoil.

1. chimba shimo kwa mchanga, penye maji haiwezi fikia.

3. Sasa panga sweet potatoes zako zote hapo ndani. Then, zifunike na nyasi imekauka.

4. Jazilia hii shimo na mchanga.

5. Mwishowe, jenga roof thatched [ile ya nyasi] ili pawe cool, pasipigwe na jua. Hiyo space imebaki katikati ya roof na mchanga ni ventilation.

TRy Hii idEa na u-SHoW dJb KWa

3008!

Usiache sweet potatoes kwa shamba

kama zimeshakuwa, zitao-za, zitakulwa na wadudu,

na utapata hasara. Jenga store kama yangu

na uta-make dooh juu utauzia wasee

during low season!

30